TRY AGAIN ATEMBELEA KAMBI YA SIMBA HUKO UTURUKI

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Muhene ‘Try Again’ ametembelea kambi ya timu ya Simba hapa jijini Ankara, Uturuki ambapo amepata nafasi ya kuongea na wachezaji na benchi la ufundi mambo mbalimbali kuelekea msimu mpya wa 2023/24.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI