Rasmi Sadio Mane amfuata Ronaldo


Sadio Mane amekamilisha usajili wake kujiunga na klabu ya Al Nassr kutoka Saudia kuelekea msimu ujao.

Bayern Munich wamemalizana na Al Nassr kuhusu malipo ya uhamisho huo, kilichosalia ni vipimo vya afya ambavyo wiki ijayo vitafanyika ili kukamilisha dili hilo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI