RASMI, KIPA MBRAZIL WA SIMBA NJE MIEZI 6


"Ni kweli amepata changamoto, ni kweli kama unavyosema huwa tunawapima Wachezaji, lakini kumbuka Kuumia si jambo la mchakato ni jambo la mara moja"

"Alikuja mzima kabisa lakini ameumia mazoezini, na atakaa nje kwa zaidi ya miezi (6). Tutatoa taarifa kuwajuza, tuko tunapambana kutafuta golikipa mwingine"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI