MRITHI WA MGUNDA MBIONI KUTUA SIMBA


Aliyekuwa kocha msaidizi wa kocha Robertinho kipindi wakiwa ndani ya klabu ya Vipers ya Uganda Marcelo Cardoso, anatua Simba sc kuvaa Viatu vya Juma Mgunda,

Taarifa zinathibitisha kuwa Marcelo ndio kocha Msaidizi wa kikosi wa Simba baada ya Mazungumzo ya pande zote mbili kwenda sawa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI