MAYELE ATAMBULISHWA PYRAMIDS


Klabu ya FC Pyramids imetangaza kukamilisha Usajili wa aliyekuwa Mshambuliaji hatari wa Klabu ya Yanga SC, Fiston Mayele kwa Mkataba wa Miaka mitatu.

Mayele mwenye umri wa Miaka 29 ameuzwa na Yanga SC baada ya kuwapa Mafanikio makubwa Klabu hiyo ya Tanzania.
.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI