KONKANI AJIUNGA NA YANGA


Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Ghana Hafidh Konkani kwa Mkataba wa miaka miwili.

Konkani (23) akiwa na Benchem Utd msimu uliopita alifanikiwa kufunga mabao 15 katika Ligi Kuu ya Ghana.

Mfungaji namba mbili wa ligi kuu ya Ghana anamiaka (23)

Mechi 27
Goal 15
Assist 4
Anacheza timu ya taifa ya Ghana




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI