KIPA WA ZALAN KUTUA SIMBA


Taarifa za chini ya kapeti zimethibitisha kuwa uongozi wa klabu ya Simba upo kwenye mpango wa kuinasa saini ya mlinda lango wa klabu ya Zalan Fc, Majok Majok (21),

Uongozi wa klabu ya Simba umeridhia kuanza mchakato wa kuipata saini ya Mlinda lango huyo kwa haraka zaidi ili kuja Tanzania kuvaa viatu vya Mbrazil Luis Jefferson aliyeachwa kikosini kutokana na kutokidhi vigezo vya mchezaji wa kigeni anayetakiwa kucheza Ligi Kuu Tanzania,

Kwa sasa itawalazimu Simba Sc kusajili mlinda lango huku wakilipa na faini kutokana na kusajili nje ya muda wa dirisha la kawaida.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI