CARLOS PROTUS AREJEA LIGI KUU BARA

Klabu ya Geita Gold imekamilisha usajili wa Beki wa Kimataifa wa Tanzania,Carlos Protus akitokea Klabu ya Tusker ya Kenya.

Carlos anakuwa Mchezaji wa nne kutangazwa na Geita Gold baada ya Tariq Kiakala aliyetokea Mbeya City, Yusuph Dunia akitokea Kagera Sugar na Valentino Mashaka akitokea Ruvu Shooting.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI