BAKARI SHIME ACHAFUA HALI YA HEWA ZANZIBAR

Mchambuzi Kheir Salum kupitia Asubuhi Njema ya ZBC, amesema kauli iliyotolewa kocha wa timu ya wanawake ya Tanzania Bara U18, Bakari Shime baada ya mchezo wa CECAFA uliopigwa siku ya jana dhidi ya timu ya Wanawake Zanzibar U18 kuwa timu hiyo iliingia kwenye mchezo kwa lengo la kuvuruga tu kwa kuwa wanajua wao wako chini kisoka mbele ya Bara.

Kheir amesema kauli hiyo si ya kiungwana na kama Mwalimu ilipaswa awaheshimu wapinzani wake.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI