YANGA YAMALIZANA NA LUC EYMAEL


"Klabu tumeshafanya mawasiliano na kocha, Luc Eymael na ameshalipwa awamu hii kwa mujibu wa makubaliano. Tumeshawasiliana na (FIFA) pia kuwajulisha hilo"

"Mengine ni propaganda tu za kutengeneza taharuki kwa mashabiki wetu. Kwa 90% tayari wachezaji waliohitajika, wameshasaini mikataba na sasa bado kuwatambulisha tu"

"Tukimaliza kuzindua jezi wiki ijayo, Wananchi watafurahi vyuma vitakavyoshuka. Tunajua kuna watu wanaogopa ndio maana wanaanzisha propaganda"





Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI