YANGA YAMALIZANA NA KIBABAGE


Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kushoto wa Singida Fountain Gate FC, Nickson Kibabage kwa mkataba wa miaka mitatu.

Kibabage (22) Alikuwa pendekezo la kocha Nabi ambapo amepitishwa na kocha mpya wa klabu hiyo Miguel Ángel Gamondi.

Nickson Kibabage Aliwahi kupita Katika Vilabu vya Mtibwa Sugar, KMC FC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI