TRY AGAIN AKABIDHI JEZI KWA WABUNGE NA WADAU

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Salim Abdallah ‘Try Again’ amekabidhi zawadi za jezi kwa Wabunge na wadau mbalimbali wa timu yetu katika hafla ya chakula cha usiku iliyofanyika Ukumbi wa LAPF Dodoma ikiwa ni kuthamini mchango wao kwa klabu.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI