SELEMAN MATOLA KUMRITHI MINZIRO GEITA GOLD

Uongozi wa Klabu ya Geita Gold FC umetaja jina la Kocha Suleimani Matola kama mtu sahihi kukabidhiwa timu kwa kipindi hiki baada ya Minziro kumaliza mkataba wake Klabuni hapo.

Geita hawana Kocha mkuu hadi sasa na Kocha anyepigiwa hesabu ni Matola ambaye majuma kadhaa nyuma ametoka kutambulishwa kuwa Kocha wa timu za Vijana za Simba U-17 na U-20.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI