MSUVA AZIITA SIMBA NA YANGA MEZANI

Nimemaliza mkataba kwenye timu yangu ya Saudi Arabia [nilisaini mwaka mmoja] kwa hiyo sasa hivi naangalia sehemu nyingine lakini kama na wao watanihitaji basi tutarudi mezani kuzungumza, kwa sasa mimi ni mchezaji huru! Natamanisha.

Tayari ofa zimekuja lakini bado hakuna timu ambayo tumefikia makubaliano ila ofa nyingi zinatoka kwenye timu za bara la Asia japo hata Afrika pia zipo lakini kwa hapa nyumbani bado sijapokea ofa kutoka timu yoyote.

Kwa sasa nisiwe muongo, bado nataka kucheza nje na kuna asilimia nyingi nitaendelea kucheza nje. Nyumbani nitarejea lakini sio kwa sasa.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI