MKUDE AHUSISHWA NA YANGA

Na Salum Fikiri Jr

BAADA ya kumkosa kiungo mkabaji Yusuph Kagoma aliyeongeza mkataba kwenye timu yake ya Singida Fountain Gate kwa miaka mitatu, mabingwa wa soka nchini Yanga SC imeamua kumnasa kiungo mkabaji Jonas Mkude aliyeachwa na Simba. 

Mambo Uwanjani Blog ina uhakika kwamba Mkude atacheza msimu ujao kwenye vilabu vinne vilivyoshika nafasi ya juu {Top four}, mchezaji huyo alitajwa kutua Azam FC kabla hata msimu haujafika tamati. 

Lakini leo vijiwe mbalimbali jijini Dar es Salaam zimezagaa taarifa kwamba kiungo huyo mahiri aliyeibuliwa na Simba B anatarajia kujiunga na Yanga


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI