KIPA LA MPIRA TANZANIA PRISONS AAGA UKAPERA

Mchezaji Benedict Tinoco (golikipa) wa Tanzania Prisons amemvisha pete ya uchumba Martha Mboya katika Kijiji cha Marangu mkoani Kilimanjaro.

Tinoco na mchumba wake wana mtoto wa kike anayeitwa Regina Tinoco mwenye umri wa miaka mitatu (3) na miezi miwili (2).


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI