KAIZER CHIEF YAMTOSA NABI, YATAMBULISHWA MWINGINE

Klabu ya soka ya Kaizer Chiefs imemtangaza Molefi Ntseki kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo kuanzia sasa.

Awali klabu hiyo ilihusishwa na kumhitaji kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi na kuondoka kwake Yanga kulihusishwa na vigogo hao wa Afrika Kusini.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI