ISSOUFOU SELLSAVON DAYO KUZIBA PENGO LA ONYANGO SIMBA

Klabu ya Simba inawinda saini ya beki wa kati wa Burkina Faso Issoufou Sellsavon Dayo.

Dayo mwenye umri wa miaka 31 anaitumikia Klabu ya RS Berkane, ujio wa Dayo unakwenda kuziba pengo la Joash Onyango aliyeomba kuachwa


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI