GEORGE MPOLE APELEKWA KITAYOSCE KWA MKOPO


George Mpole, yuko kwenye mazungumzo ya kujiunga na klabu ya Kitayosce ya Tabora kwa mkopo akitokea FC Lupopo

Mpole hajawa na wakati mzuri tangu asajiliwe na klabu hiyo ya DR Congo

George Mpole ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania bara 2021/2022, yuko nchini Tanzania kwa ajili ya mapumziko.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI