DANIEL AMOAH AONGEZA MMOJA AZAM


Klabu ya Azam FC imetangaza kumwongezea Mkataba wa Mwaka mmoja beki wake wa Kimataifa wa Ghana, Daniel Amoah ambapo utamfanya kusalia Klabuni hapo mpaka June 30,2025

Beki huyo mwenye umri wa Miaka 25 Msimu huu amefanikiwa kucheza Mechi 25 za Ligi Kuu akiwa na Azam FC na kufunga magoli mawili na kadi nne za njano..


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI