BERNARD MORRISON KUIBUKIA AZAM

INASEMEKANA kiungo mshambuliaji wa zamani wa miamba Simba na Yanga Bernard Morrison anatarajia kutambulishwa na wanalamba lamba, Azam FC.

Inadaiwa kwamba Bernard Morrison amejiunga na Azam fc kwa mkataba wa miaka miwili ,


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI