AISHI MANULA YUPO KIJIJINI MKAMBA

Kipa wa Simba SC Aishi Manula akiwa Nyumbani kwao Mkamba Kirombero mkoani Morogoro katika kipindi hichi cha mapumziko lakini pia akiendelea kujiuguza jeraha lake baada ya kufanyiwa operation.

"Ni ardhi yenye kuponya na kutia nguvu, Niwapo hapa najiona mwenye Furaha na amani. Sijawahi kuwa mnyonge ninapokuwa nyumbani kwa baba alipotuacha na mama" Kipa wa Simba SC Aishi Manula.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI