PILATO WA USM ALGER NA YANGA HADHARANI

Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limemtangaza mwamuzi Dahane Beida kutoka nchini Mauritania kuchezesha mchezo wa fainali ya pili ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya USM Alger dhidi ya Yanga SC mchezo ambao utachezwa uwanja wa Julliet 5, Jijini Algers nchini Algeria,

Mwamuzi huyo atasaidiwa na Jarson Dos Santos kutoka Angola na Arsenio Marngol kutoka Nchini Msumbiji.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI