NCHIMBI KUTUA KITAYOSCE

Kitayose FC iko mbioni kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, Yanga na Geita gold Ditram Nchimbi (30,

Tayari makubaliano ya mtu binafsi yamefikiwa na siku chache zijazo Ditram Nchimbi atasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Kitayosce inaweza kuthibitisha.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI