NAIBU WAZIRI WA MICHEZO MWANAFA AKIISAPOTI YANGA

Naibu waziri wa Michezo, Sanaa na Utamaduni, Mhe Khamis Mwinjuma maarufu MwanaFA alipoudhuria uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam akiwa amevalia jezi ya Yanga kuisapoti timu hiyo wakati ilipocheza na USM Alger katika mchezo wa fainali mkondo wa kwanza.

Kwenye mchezo huo Yanga ikiwa nyumbani ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1, timu hizo zitarudiana Jumamosi ijayo ya tarehe 3., Juni ambapo Yanga inatakiwa kushinda mabao 2-0 ili kurejea na kombe


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI