MASHUJAA YANUSA LIGI KUU


Klabu ya Mashujaa ya mkoani Kigoma imeipiga klabu ya Pamba ya Mwanza Kwa ushindi wa jumla Kwa mabao 5-4.

Mchezo wa Kwanza Mashujaa waliibuka na ushindi wa 4-0, Mchezo wa pili Pamba walishinda 4-1 bao moja la Mashujaa likatoa nafasi Kwa kuweka mguu mmoja mbele.

Mashujaa Sasa wanasubiri Mchezo mmoja Dhidi ya timu itakayo cheza PlayOff Kutoka Ligi kuu ya NBC Premier league ili Kujua hatima yao ya kupanda Ligi Kuu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI