HAALAND AMFUNIKA KWA MABAO KANE

Erling Haaland amefunga magoli 36 kwenye Ligi Kuu ya England msimu huu, yaliyochangia Manchester City kutwaa ubingwa wa tatu mfululizo.

Kwa upande mwingine Harry Kane amefunga magoli 30, Tottenham Hotspur ikimaliza katika nafasi ya nane.

Baadhi ya wachambuzi wanaamini kuwa endapo Kane angekuwa na na timu bora kama Man City huenda angefunga magoli zaidi ya Halaand.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI