BAYERN MUNICH MABINGWA TENA UJERUMANI


BAYERN MUNICH wametwaa Ubingwa wa Ligi Kuu Ujerumani kwa mara ya 11 Mfululizo baada ya kushinda kwa goli 2-1 dhidi ya FC Koln huku Borussia Dortmund wakisare kwao 2-2 dhidi ya Mainz 05.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI