ALIYEIUA YANGA KUCHEZA TIMU MOJA NA MAHREZ


Aymen Mahious wa USM Alger aliyefunga goli la kwanza dhidi ya Yanga katika fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Algeria kitakachocheza mechi za kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Uganda na ya kirafiki dhidi ya Tunisia.

Kwa kifupi, huyu bwana wanapasiana na Riyad Mahrez ambaye huwa anampa assist Haaland.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI