Rivers yawasili kuivaa Yanga


Klabu ya Rivers United ya Nigeria imewasili salama, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa mkondo wa pili wa kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga SC

Katika mchezo wa kwanza Yanga SC aliibuka na ushindi wa goli 2 -0 dhidi ya Rivers pale Nigeria.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI