Nusu fainali ni Yanga vs Marumo Gallants ya Afrika Kusini


Yanga imefuzu kucheza hatua hiyo ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuiondoa Rivers United ya Nigeria baada ya matokeo ya 0-0 kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar

Yanga imesonga mbele kwa matokeo ya jumla ya magoli 2-0 ambayo iliyapata katika mchezo wa ugenini wakati #MarumoGallants imeingia hatua hiyo kwa kuitoa #Pyramids ya Misri kwa jumla ya magoli 2-1

Mechi za Nusu Fainali ni Mei 10, 2023 na marudio ni Mei 17, 2023



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI