MAMELOD SASA USO KWA USO NA WYDAD

Klabu ya Mamelodi Sundowns imetinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa jumla wa 6-2 dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria.

FT': Sundowns πŸ‡ΏπŸ‡¦ 2-1 πŸ‡©πŸ‡Ώ CR Belouizdad (Agg 6-2)
⚽ Zwane 45'
⚽ Morena 49'
⚽ Bouchar 24'

Mamelodi Sundowns itachuana na Wababe wa Simba SC, Bingwa mtetezi Wydad Casablanca kwenye nusu fainali.

BAADAE LEO: #CAFCL

22:00 Esperance πŸ‡ΉπŸ‡³ πŸ†š πŸ‡©πŸ‡Ώ JS Kabylie (Agg 1-0)

22:00 Raja CA πŸ‡²πŸ‡¦ vs πŸ‡ͺπŸ‡¬ Al Ahly (Agg 0-2)



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI