Yanga wakijifua Stade TP Mazembe Stadium leo

Kikosi Cha Yanga kimefanya mazoezi yake ya kwanza nchini DR Congo kwenye uwanja wa Stade TP Mazembe ikiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons