Yanga wakijifua Stade TP Mazembe Stadium leo

Kikosi Cha Yanga kimefanya mazoezi yake ya kwanza nchini DR Congo kwenye uwanja wa Stade TP Mazembe ikiwa ni maandalizi ya mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI