NKOMA ABWAGA MANYANGA YANGA PRINCESS

Klabu ya Yanga imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu ya Wanawake, Yanga Pirincess, Sebastian Nkoma kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Uongozi wa Yanga unamshukuru Kocha Mkoma kwa kazi yake kipindi chote alichokuwa akiifundisha timu yetu ya Wanawake.

Kwa sasa benchi la ufundi la Yanga Princess litakuwa chini ya kocha Fredy Mbuna mpaka mwisho wa msimu huu.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons