Mshery aanza tizi

Golikipa wa Klabu ya Yanga,Aboutwalib Mshery ameanza mazoezi mepesi baada ya kupona majeraha yaliyokuwa yakimkabili ambayo yalimlazimu kufanyiwa upasuaji wa goti.

Mshery alitabiriwa kukaa nje ya Uwanja kwa zaidi ya Miezi sita na hali inavyoonekana anaweza kupona na kuwa fit kabla ya muda uliotarajiwa na madaktari.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons