Morrison, Ambundo waachwa Yanga


Winga mtukutu, Bernard Morrison ameachwa katika kikosi cha wachezaji wa Yanga waliondoka leo Alhamisi kuelekea Congo kwa mechi ya marudiano dhidi ya TP Mazembe itakayochezwa Jumapili saa 10:00 jioni.
.
Taarifa kutoka Yanga inasema kuwa, Bernard Morrisoni, Dickson Ambundo na Mshery hawatasafiri na timu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons