Makambo kurejea tena Tanzania

Straika wa zamani wa Yanga, Heritier Makambo amesema amejipa muda wa kujifua bila ya kuwa na timu kabla ya msimu ujao hajarejea nchini kuja kukiwasha. Klabu za Singida Big Stars na Namungo zilizopo Ligi Kuu zinatajwa kuanza mazungumzo naye


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons