Diarra na Aucho kuikosa TP Mazembe



Klabu ya Yanga SC imethibitisha itawakosa kiungo, Khalid Aucho na kipa Djigui Diarra katika mchezo wao wa mwisho wa Kundi D dhidi ya TP Mazembe Katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Aucho na Diarra watakosekana katika mchezo huo kutokana na kutumikia adhabu ya kadi mbili za njano walizopata katika michezo iliyopita.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons