Cristiano Ronaldo na mkoko wake wa Bil 20


Cristiano Ronaldo hapo jana alionekana kwenye jiji la Madrid nchini Uhispania akiendesha gari lake aina ya Bugatti Centodieci.

Unaambiwa kuna magari 10 tu ya aina hiyo ulimwenguni. ni wazi yake ilikuwa namba 7.

Bei ya gari ni Euro milioni nane ambazo ni zaidi ya Shilingi bilioni 20 za Kitanzania


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons