BARCELONA KUMRUDISHA MESSI

Klabu ya Barcelona kupitia kwa Makamu wake wa Rais, Rafael Yuste amekiri kuwa wapo katika mipango ya kumrejesha mchezaji bora wa dunia, Lionel Messi kwenye klabu hiyo kutokea PSG.

Yuste amesema wao (Barcelona) wamekuwa na mawasiliano ya karibu na wawakilishi wa Lionel Messi na kwamba hata yeye (Messi) anafahamu kwa jinsi gani Barcelona wanampenda na wangependa arudi.

Unadhani itawezekana tena kwa Messi kurejea Barcelona?



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI