KMC yawaongezea mikataba nyota wake walioipandisha Ligi Kuu

Na Ikram Khamees. Dar es Salaam

Klabu ya KMC ya Jijini Dar es salaam imewaongezea mikataba wachezaji wake Watatu ya Kuendelea Kuitumikia klabu hiyo.

Beki wa pembeni Ally Ramadhani mshambuliaji Rehan Kibingu pamoja na Kiungo Mshambuliaji Cliff Buyoya .

Wote hawa Wamekula kandarasi ya mwaka mmoja ya Kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI