JUMA LUIZIO AREJEA MTIBWA SUGAR

Na Saida Salum. Dar es Salaam

Mabingwa wa kombe la shirikisho (Azam Sports Federation Cup) Mtibwa Sugar leo wamefanikiwa kuinasa saini ya Juma Luizio kutoka Simba Sc.

Luizio aliyekuzwa na timu ya vijana ya Mtibwa Sugar na baadae kutimikia Zesco ya Zambia na baadae Simba Sc.

Leo amerejea rasmi katika timu iliyomkuza Mtibwa Sugar Sc

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI