GARDIEL MICHAEL AAGANA NA UKAPELA

Na Mwandishi Wetu. Tanga

Beki wa kushoto wa wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Yanga SC, Gardiel Michael Mbaga amefunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake Lovenes Haroun katika kanisa la Luthelen la usharika wa Kana jijini Tanga.

Gardiel sasa anaachana na klabu ya ukapela na kuwa mwanandoa, pia anaondoa fununu kuwa in miongoni mwa wachezaji walioweka mgomo katika klabu ya Yanga kama inavgosemekana kuwa wachezaji karibu wote wamegoma.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI