Baba yake Mbappe asema alimpeleka mwanaye Cameroon lakini wakamkataa

"Mara ya kwanza nilipotaka mwanangu acheze timu ya taifa ya Cameroon, shirikisho la soka nchini humo lilitaka nilipe kiasi flani ( Rushwa) Ambacho nilikuwa sina. " 

" Baadae nilienda katika Uongozi wa shirikisho la soka Ufaransa na hawakunitoza kiasi chochote."

Maneno ya baba mzazi wa mshambuliaji Kylian Mbappe ,  mzee Wilfreid Mbappe Alipoulizwa kuhusiana na mwanawe kwanini hakuichezea timu ya taifa ya Cameroon na kwenda kuichezea Ufaransa .

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI