USWISI YACHOMOA BAO NA KUPIGA LA PILI IKIILAZA SERBIA

Timu ya taifa ya Uswisi ama watunza fedha za ulimwengu usiku wa leo wamefanya maajabu ya aina yake baada ya kusawazisha bao na kuongeza la pili na la ushindi ambalo ssas limewafanya kuwa sawa na Brazil zote zikiwa na pointi nne.

Uswisi wameweza kuishinda Serbia mabao 2-1 mchezo wa kundi E ukipigwa uwanja wa Kaliningrad Arena nchini Urusi.

Walikuwa Serbia kuanza kupata bao kubako dakika ya 5 kupitiakwa Mitrovic kabla ya Granit Xhaka kuisawazishia Uswisi dakika ya 52 kisha Xherdan Shaqiri kuongeza la pili dakika ya 90

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI