TUNISIA YAONDOA AIBU, UINGEREZA YALALA

Wawakilishi wa bara la Afrika, Tunisia wameonja ushindi kombe la dunia baada ya ushindi wake wa mabao 2-1 dhidi ya Panama mchezo wa kundi G.

Mabao ya ushindi yamefungwa na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 51 na Wahbi Khazri dakika ya 66 wakati lile la Panama ambao walikuwa wa kwanza kufunga liliwekwa kimiani na Rodriguez dakika ya 33, licha ya ushindi huo Tunisia imeaga sambamba na Panama nakuziachia Uingreza na Ubelgiji kusonga.

Ubelgiji nao wameifunga Uingereza bao 1-0 lililofungwa na AdnanJanuzaj dakika ya 51 na kuwafanya wamalize kundi G wakiwa kileleni kwa kufikisha pointi tisa, hatua ya 16 bora inaanza Jumamosi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI