SARE SARE MAUA ZATAWALA KUNDI C KOMBE LA DUNIA, SASA NI VITA 16 BORA

Raundi ya tatu imemalizika leo usiku kwa kundi C kombe la dunia ambapo sare zimetawala katika mechi zote mbili na hatimaye kuzipeleka timu za Hispania na Ureno katika hatua ya 16 bora ambayo ni ya mtoano.

Hispania ilienda sare ya kufungana mabao 2-2 na Morocco wakati Ureno nayo ikienda sare ya 1-1 na Iran ambapo mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikosa penalti.

Sasa ratiba ya hatua ya mtoano tayari imejulikana ambapo Ureno itachuana na Uruguay wakati Hispania itacheza na mwenyeji Urusi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI