Simba yaendeleza ubabe kwa Gendarmarie

Na Mwandishi Wetu. Djibout

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, Simba Sc jioni ya leo imeendeleza ubabe baada ya kuichapa bao 1-0 mchezo wa marudiano wa kombe la Shirikisho barani Afrika.

Simba imepata ushindi huo ugenini leo na kufanikiwq kuingia Raundi ya kwanza kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-0, kwa ushindi huo sasa Simba itaumana na El Masry ya Misri ambayo nayo ilikuwa ikiongoza kwa mabao 4-0 dhidi ya Green Buffoeroes ya Zambia.

Goli lililoipa ushindi Simba leo lilifungwa na mshambuliaji wake wa kimataifa, Mganda Emmanuel Okwi

Simba Sc imeifunga Gendarmarie leo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI