AZAM YAJIONDOA MBIO ZA UBINGWA, YABANWA NA LIPULI

Na Mwandishi Wetu. Iringa

Mabingwa wa kombe la Mapinduzi, Azam Fc jioni ya leo imelazimishwa sare tasa 0-0 na wenyeji Lipuli Fc mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uwanja wa Samora mjini Iringa.

Matokeo hayo yanazidi kuwaondoa Azam kwenye mbio ya ubingwa na kuzipisha Simba na Yanga zikichuana kileleni huku pia ikiwapa nafasi Singida United kuwakimbiza.

Azam Fc imefikisha pointi 35 katika michezo 19 waliyocheza, Lipuli nao wanafikisha pointi 20 pia wakicheza mechi 19.

Azam Fc imeanza kujiondoa kwenye ubingwa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI