NINJE AMPONZA MAYANGA STARS

Na Saida Salum. Dar es Salaam

Shirikisho la mpira wa miguu nchini, (TFF) limetangaza kuanzisha mchakato wa kusaka kocha mpya wa timu ya taifa, Taifa Stars akichukua mikoba ya Salum Mayanga anayemaliza mkataba wake.

Taarifa ambazo Mambo Uwanjani imezinyaka ni kwamba mkataba wa Mayanga upo ukingoni na mipango ya TFF kwa sasa ni kuajili kocha mzungu.

Lakini inasemekana kuwa kufanya vibaya kwa Tanzania Bara katika michuano ya Chalenji iliyofanyika Kenya ambapo karibu kikosi chote cha Bara ni kilekile cha Mayanga na hivyo  kimepelekea Watanzania kutokuwa na imani naye.

Bara ilikuwa ikinolewa na Ammy Ninje, ambaye pia alikuwa msaidizi wa Mayanga kwenye kikosi cha Stars, kwa mujibu wa TFF mchakato wa kusaka kocha mpya walimu kutoka Zanzibar nao wametakiwa kutuma maombi

Ammy Ninje 

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI